Madhabahu ya Uzima na Amani.

Malaki 2:5

Dhima

Kuhubiri na kufundisha Neno la Mungu na kueneza Injili ya Yesu Kristo Mungu Mkuu Tanzania na nje ya nchi kufuatia AGIZO KUU LA BWANA YESU (Marko 16:15)

Dira

Kuwa Kanisa linaloweza kujiendeleza kiuchumi, na kusaidia jamii kimwili na kiroho likifanya kazi kwa umoja wa Kristo

Kauli Mbiu

Tangaza Injili ya Kristo na kuleta watu kwenye Madhabahu ya Uzima na Amani. (Malaki 2:5)

Kanisa letu

Tunayo furaha kukukaribisha katika kanisa letu lenye dhumuni la kueneza injili ya Yesu Kristo. Kanisa letu lilianzishwa tarehe 17 OCTOBER 2002, na limepata usajili chini ya namba SA 10347.Mwanzilishi na Askofu Mkuu wa kanisa letu ni Kuhani Elisante Ikaka Cheya, ambaye ametuongoza kwa busara na upendo tangu mwanzo. Kanisa letu lina makao makuu yaliyoko Arusha, mtaa wa Sama, katika kata ya Moivo, Arusha. Hata hivyo, tumeenea na kuwa na matawi mkoani Mwanza, Mbeya, na Manyara, tukiendeleza utume wetu kwa njia ya kijamii, kiroho, na kimwili.

Karibu sana kwenye familia yetu ya “LIFE AND PEACE ALTAR INTERNATIONAL CHURCH”!

Kalenda ya Kanisa kwa mwaka 2024

Pakua kalenda yako hapa

Viongozi wa Kanisa

Kuhani. Elisante Ikaka Cheya

Askofu Mkuu

Mch. Christajenny U. Nnko

Makamu Askofu Mkuu

Ndg. Steven M. Mwagowa

Katibu Mkuu

Ndg. Nickson E. Mandari

Katibu Mkuu Msaidizi

Happiness M. Lukumai

Mweka Hazina Mkuu

Jane E. Mollel

Mweka Hazina Msaidizi

Apostle. Goodluck S. Massawe

Mkurugenzi wa Elimu

Emmanuel J. Njiro

Mwinjilisti Mratibu

Paskali M. Maring

Mchungaji

Tunapatikana

Arusha

Mtaa wa Sama,Kata ya Moivo

Mwanza

Mtaa wa Mihama, Kata ya Kitangiri, Ilemela

Mbeya

Mtaa wa Itongo,Kata ya Mwakibete,Wilaya ya Mbeya,Mbeya Jiji.

Manyara

  1. BABATI Kanisa lipo Mtaa wa Miyomboni ,Kata ya Bagara, Wilaya ya BABATI Manyara.
  2. Kiteto, Manyara

Wasiliana Nasi

Tuandikie Ujumbe wako hapa